Idadi ya Wakenya wanaojisajili kama wapiga kura ni chache mno kinyume na matarajio ya tume ya IEBC
2nd March, 2016
Idadi ya Wakenya wanaojisajili kwenye daftari kuu la wapiga kura ni chache mno kinyume na matarajio ya tume ya IEBC. Licha ya juhudi za machifu na viongozi wengine kujitokeza na kuwahamasisha wakenya kujisajili, maafisa wanaowasajili wakenya kwenye vituo wanadai kuwa baadhi ya vijana wanataka kujisajili lakini hawana vitambulisho vya kitaifa Ali Manzu alikuwa katika ukanda wa magharibi ya Kenya na kutuandalia taarifa aifuatayo.