Furaha maradufu kwa mama wa pacha 3 waliopata upasuaji wa bure wa moyo katika hospitali ya Nairobi
1st March, 2016
Ni furaha maradufu kwa mama aliyejifungua watoto watatu wakati mmoja baada ya kupata upasuaji wa bure wa moyo katika hospitali ya kibinafsi ya Nairobi. Makinda hao waliangaziwa majuma mawili yaliyopita na gazeti la standard wote watatu wakiwa na mashimo mioyoni.