×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Vurugu yazuka katika shughuli ya kuandikisha wapiga kura mtaani Kariobangi

1st March, 2016

Kulizuka vuruga mtaani Kariobangi jijini Nairobi huku wakazi wakilalamikia kile walichotaja kama uhamisho wapiga kura kutoka maeneo mengine kuja kujisajili huko. Fujo hizi zinajiri siku tatu tu baada ya ya usajili wa wapiga kura wapya kuanza katika shule ya maruru mtaani humo. Shughuli hiyo ilisitishwa na ilibidi polisi waingilie kati kukomesha makabiliano.
.
RELATED VIDEOS