×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakaazi wa kijiji cha Waon, Elgeyo Marakwet wahofia maisha yao kufuatia visa vya kuumwa na majoka

28th February, 2016

Wakazi wa kijiji cha Waon katika kaunti ya Elgeyo Marakwet wanaishi na roho mikononi kufuatia visa vya kuumwa na majoka hatari. Maafisa wa afya katika kaunti hiyo wamedai kuwa zaidi ya wakazi wawili huumwa na nyoka kila wiki katika msimu huu wa kiangazi.
.
RELATED VIDEOS