×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Elewa Sheria: Makosa gani aliyofanya rubani aliyenaswa akimpiga afisa wa polisi wa kike

24th February, 2016

Kufuatia kukamatwa kwa rubani aliyenaswa kwa video akimpiga afisa wa polisi wa kike katika kaunti ya Nyandarua na sasa atalazimika kulala korokoroni kwa siku 5 zijazo baada ya kushtakiwa katika mahakama ya Kinangop, maswali yameanza kuibuka kuhusiana na wajibu wa maafisa wa polisi kwenye mchakato wa kuwazuia watu kuelekea katika baadhi ya maeneo,elvis kosgei anayatafutia majibu kwenye makala maalum ya elewa sharia
.
RELATED VIDEOS