×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mradi wa NYS Kibera ulikuwa njama ya wizi wa mamilioni ya pesa, afichua shahidi kwenye sakata hiyo

23rd February, 2016

Huku mmoja wa washukiwa wa wizi wa fedha katika NYS akihojiwa leo na tume ya kupambana na ufisadi, habari fiche zimeendelea kuibuka kwenye sakata ya wizi wa fedha katika mpango wa NYS. Kikosi cha upekuzi cha KTN kimepata kauli za mwanamke mmoja aliyekuwa akifanya kazi katika idara ya usambazaji ya NYS. Mtumishi huyo anasema mradi wa NYS Kibera ulikuwa ni njama ya wizi wa mamilioni ya pesa
.
RELATED VIDEOS