×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Rais Uhuru Kenyatta adinda kuteua jopo maalum la kuchunguza Jaji Philip Tunoi kwa madai ya ufisadi

22nd February, 2016

Rais Uhuru Kenyatta hatoteuwa jopo maalum la kuchunguza madai yanayomkumba jaji wa mahakama ya juu Philip Tunoi. Kwenye waraka rasmi kwa vyombo vya habari na tume ya huduma kwa mahakama JSC ikulu ya Nairobi imesema kwamba jaji Tunoi tayari ana kesi mbele ya mahakama ya rufaa kuhusu muhula wake wa kudumu.
.
RELATED VIDEOS