Ufugaji wa ndege wa kipekee wampa mwanamke mmoja Nyeri umaarufu
21st February, 2016
Ufugaji wa ndege wa kipekee ni biashara ambayo imempa mwanamke mmoja huko nyeri umaarufu wa aina yake pamoja na pesa za kutosha za kukimu mahitaji yake . Ndege wake si wa kawaida na baadhi yao wanagharimi hata shilingi elfu 10 kila mmoja. Carol Nderi ana taarifa hiyo….