Hassan Wario: Serikali itahakikisha kenya inashiriki katika mashindano ya olimpiki
19th February, 2016
Serikali ya Kenya imetoa shillingi millioni 300 zitakazotumika na idara ya kupambana na utumizi wa dawa zilizopigwa marufuku maarufu kama adak. Waziri wa michezo Hassan Wario amedokeza kwamba serikali itahakikisha idara hiyo inafanya kila iwezalo kuhakikisha kwamba kenya inashiriki katika mashindano ya olimpiki.