×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hofu jijini: Simba 6 waondoka mbuga ya Nairobi

19th February, 2016

Taharuki imetanda maeneo ya Lang’ata, Kibra na eneo zima la Southern Bypass jijini Nairobi baada ya simba kuripotiwa kutoka nje ya mbuga ya kitaifa ya Nairobi. Kwa mujibu wa maafisa wa shirika la wanyama pori KWS, simba hao takriban sita, walianza kuelekea eneo la kijeshi la Langa’ta Barracks kando na mbuga hiyo na baadaye wakatoweka. Raia wameombwa kuwa macho na kuripoti simba watakaowaona huku msako wa kws ukiendelea.
.
RELATED VIDEOS