KTN yazidi kuvuma kwa kushirikiana na Bamba TV
18th February, 2016
Kuanzia sasa kampuni ya kupeperusha matangazo ya kidijitali ya bamba ni miongoni mwa taasisi zilizo chini ya mwavuli wa shirika la habari la Standard Group. Hii ni baada ya KTN kusaini mkataba na wakuu wa shirika la radio africa kuanzisha ushirikiano. Hatua hiyo itaongeza kiwango cha maeneo ambayo KTN imekuwa ikitizamwa kote nchini.