Wenyeji wa Kaskazini Mashariki kukosa kusajiliwa kutokana na kukosa vitambulisho
17th February, 2016
Huku shughuli ya kuwasajili wapiga kura ikiendelea nchini, idadi kubwa ya wenyeji wa kaskazini mashariki watakosa kusajiliwa kutokana na kukosa vitambulisho. Uchunguzi wa ktn leo umebaini kwamba wenyeji wengi wa dadaab kaunti ya garissa hawana vitambulisho. Chifu mmoja wa eneo la mpakani analalamika kwamba mtoto wake amenyimwa kitambulisho licha ya kuwa afisa wa idara ya utawala