Makala maalum: Kimya Saliti (Part 2)
14th February, 2016
Wanafunzi wa shule ya ulemavu wa kusikia ya Kambui mjini kiambu wanakabiliwa na changamoto nyingi mojawepo ikiwa wakuu wao ambao wametajwa kama wasaliti kwa kuwapuuza kwa kila hali. Mwanahabri wetu Hussein Mohammed kwa zaidi ya miezi saba amelizamia swala zima la madhila wanayopitia wanafunzi hao. Na sasa anaarifu kwenye makala ya kimya saliti