Kamati ya bunge ya kilimo ikiongozwa na Eugene Wamalwa yazuru Galana
13th February, 2016
Siku chache baada ya kamati ya bunge inayosimamia kilimo kuhoji kuhusiana na kiasi cha fedha ambazo zinatumika katika mradi wa galana na kutaka utathmini kutoka kwa wizara ya mazingira waziri wa maji na unyunyiziaji Eugene Wamalwa ameiongoza kamati hiyo katika eneo la galana ili kutathmini ubora kuhusiana na mazao ya kilimo hasa ukuzaji wa mahindi.