Mwenyekiti wa tume ya huduma kwa polisi Johnstone Kavuludi akanusha madai ya hongo
10th February, 2016
Mwenyekiti wa tume ya huduma kwa polisi Johnstone Kavuludi, amejitokeza kupuuzilia mbali madai kwamba kamati yake inayochunguza maafisa wa polisi imekuwa ikipokea rushwa kutoka kwa baadhi ya maafisa. Na sasa Kavuludi amefichua kwamba barua hiyo iliotoka kwa mtoboa siri wa kitengo cha IPOA ni vitisho dhidi ya maisha yake.