Elewa sharia: Usalama wa wapita njia katika vivukio vya miguu au footbridges
10th February, 2016
Kwenye mtindo unaohatarisha maisha ya watu katika vivukio vya miguu au footbridges, waendeshaji pikipiki sana za bodaboda sasa wameteka maeneo hayo na kuendesha pikipiki zao bila kujali usalama wa wapita njia. Vivukio vilivyoathirika pakubwa ni kama vya barabara za north airport na barabara kuu ya Mombasa maeneo ya embakasi pamoja na kile cha General Motors na kile cha Bellevue hapa Nairobi.