Maajabu ya Ulimwengu: Baba afanya mapenzi na mtoto wake wa kike Thika
8th February, 2016
Hebu tafakari, baba,kudaiwa kufanya mapenzi na mtoto wake wa kike! Ndio vimbwanga vya walimwengu vilivyopelekea familia moja mjini Thika kaunti ya Kiambu, kuzozana hadharani baada ya kufahamishwa madai ya baba mzazi wa familia hiyo kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtoto wake wa kike. Hii ni baada ya baba huyo kuripotiwa kupata utabiri kuwa mkewe alijiingiza kwenye ushirikina na hivyo basi kumfukuza.