Mkusanyiko wa habari kutoka kaunti mbalimbali
7th February, 2016
Na kwenye mkusanyiko wa habari kutoka kaunti mbalimbali, zaidi ya watu 250 wameachwa bila makao katika eneo la sinai,mtaa wa South B kaunti ya nairobi kufuatia kisa cha moto kilichosababishwa na gesi, wakati huo huo waziri wa ugatuzi mwangi kiunjuri amewataka viongozi kushirikiana ili kukabiliana na vita dhidi ya pombe haramu. Elvis Kosgei na mseto wa taarifa hizo