Bandari watwaa taji la Super Cup
6th February, 2016
Anthony Kimani alifunga bao la pekee lilowapa bandari ushindi dhidi ya gor mahia na kutawazwa mabingwa wa kombe la super cup katika mechi iliyochezwa uwanjani mbaraki mjini Mombasa. Mechi hiyo ambayo inaashiria mwanzo wa msimu mpya nchini ilikuwa kati ya mabingwa wa ligi kuu na wale wa ngao ya gotv.