×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

NYEMBE ZA UKEKETAJI: Juhudi za kupambana na ukeketaji

6th February, 2016

Visa vya ukeketaji miongoni mwa jamii nchini kenya,vimetajwa kushuka kwa kiasi hasa baada ya serikali kubuni tume maalum ya kupiga vita dhulama hizo kwa ushirikiano na mashirika ya kijamii. Kulingana na ripoti ya afya mwaka 2015, matokeo yameashiria upungufu ingawa kuna ongezeka kwa baadhi ya kaunti nchini Kenya. Ali manzu alizuru sehemu ya kaskazini mashariki ya kenya,ambako kuna ongezeko la asilimia 94 ya ukeketaji na kupata na muathiriwa mmoja ambaye sasa anaitaka jamii ya wasomali kuachana na tabia hio iliopitwa na wakati.
.
RELATED VIDEOS