UFANISI MITAANI: Kijana aliyekuwa akirandaranda apata maki 423 KCPE
5th February, 2016
Je watoto wa kurandaranda wanaweza kutumia nafasi yao katika jamii kujinufaisha? Maswali haya yanapata jawabu kupitia kijana mmoja aliyekamilisha masomo yake ya msingi mwaka jana na kupata maki 423 katika mtihani wa kitaifa wa KCPE. Aidha tunaarifiwa kwamba kijana huyo amepata ufadhili na kujiunga na shule ya upili ya Starehe.