Kamati ya seneti kuhusu teknolojia na mawasiliano yazuru kaunti ya Migori
2nd February, 2016
Kamati ya seneti kuhusu teknolojia na mawasiliano imezuru kaunti ya Migori ambapo ilipongeza juhudi za kaunti hiyo kuiendeleza utumiaji wa teknolojia kwenye huduma za umma katika kaunti.