×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waziri wa elimu Fred Matiang'i ajitolea kukomesha unyakuzi wa ardhi za shule kote nchini

2nd February, 2016

Waziri wa elimu Fred Matiang'i ametoa agizo kwa wakuu wa shule kuhakikisha kuwa taasisi zao zimepata vyeti vya umiliki wa ardhi za shule hizo. Akizungumza kwenye hafla ya maafisa wa elimu mjini Kisumu Matiangi amesema amejitolea kuhakikisha kwamba unyakuzi wa ardhi za shule umekoma kote nchini..
.
RELATED VIDEOS