×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Pingu za fahari: Jinsi Wasamburu wanavyo tia saini ya daima ya ndoa

31st January, 2016

Miongoni mwa Wasamburu cheti cha serikali sio ithibati ya ndoa kati ya watu wawili. Mtu hutambuliwa na jamii nzima kuwa ameoa ipasavyo kupitia utamaduni wa kumdunga fahali kisu shingoni na kumchinja. Damu ya fahali huyo itanywewa na nyama yake kuliwa ikiwa ndio saini ya daima ya ndoa kufungwa… Lofty Matambo na mengi zaidi katika sehemu ya pili ya pingu za fahari
.
RELATED VIDEOS