Pingu za fahari: Jinsi Wasamburu wanavyo tia saini ya daima ya ndoa
31st January, 2016
Miongoni mwa Wasamburu cheti cha serikali sio ithibati ya ndoa kati ya watu wawili. Mtu hutambuliwa na jamii nzima kuwa ameoa ipasavyo kupitia utamaduni wa kumdunga fahali kisu shingoni na kumchinja. Damu ya fahali huyo itanywewa na nyama yake kuliwa ikiwa ndio saini ya daima ya ndoa kufungwa… Lofty Matambo na mengi zaidi katika sehemu ya pili ya pingu za fahari