Mhudumu mmoja wa timbo za mawe akwama kwenye timbo baada ya maporomoko Tigania Mashariki
31st January, 2016
Mhudumu mmoja wa timbo za mawe katika eneo la Tigania Mashariki angali amekwama kwenye timbo ya eneo la chalulu kufuatia mkasa wa kuporomoka jiwe katika timbo hiyo. Aidha wachimbaji watatu wa mawe waliepuka na majeraha huku mmoja akikimbizwa hospitalini.