Familia ya mwanajeshi wa KDF yaingiwa na hofu baada ya mawasiliano naye kukatika ghafla
25th January, 2016
Familia moja huko Loitoktok kaunti ya Kajiado imejitokeza kudai kuzungumza na mwanao mmoja wao siku ya Jumamosi wiki moja baada ya shambulizi la al-Shabaab dhidi ya wana KDF Somalia. Bwana huyo ni mmoja wa maafisa wa KDF walionusurika mikononi mwa wana al-Shabaab sasa wanadai mawasiliano yamekatika gafla na wana wasiwasi mwingi wasijie aliko jamaa yao.