Elly Ajowi na Nick Okoth wateuliwa kuwakilisha Kenya katika mashindano ya ndondi
24th January, 2016
Elly Ajowi pamoja na Nick Okoth ni mojawapo ya bondia kumi ambao walichaguliwa kwenye timu ambayo itaiwakilisha kenya katika mashindano ya ndondi ya kujikatia tiketi ya kushiriki mashindano ya Olimpiki.timu hiyo inatarajiwa kambini baada ya wiki moja kwa ajili ya kupamba mazoezi. Mashindano hayo yataandaliwa mjini yaunde Cameroon.