×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Elly Ajowi na Nick Okoth wateuliwa kuwakilisha Kenya katika mashindano ya ndondi

24th January, 2016

Elly Ajowi pamoja na Nick Okoth ni mojawapo ya bondia kumi ambao walichaguliwa kwenye timu ambayo itaiwakilisha kenya katika mashindano ya ndondi ya kujikatia tiketi ya kushiriki mashindano ya Olimpiki.timu hiyo inatarajiwa kambini baada ya wiki moja kwa ajili ya kupamba mazoezi. Mashindano hayo yataandaliwa mjini yaunde Cameroon.
.
RELATED VIDEOS