Aliyekua mfungwa kwa miaka 27 afunga ndoa
24th January, 2016
Baada ya kuhudumu kifungo kwa muda wa miaka 27 jamaa mmoja mwenye umri wa miaka 52, ameamua kuhalalisha ndoa yake na mpenziwe aliyekuwa amemuacha nyumbani kufuatia kifungo. Joseph Charles Kinyua kutoka kaunti ya Nakuru, alikuwa amehukumiwa kifungo cha maisha kwa wizi wa mabavu. Na kama anavyoarifu Kamche Menza Kinyua ameachiliwa huru kufuatia msamaha wa rais.