×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kashfa ya Eurobond: Kiongozi wa Cord Raila Odinga ampongeza Keriako Tobiko

23rd January, 2016

Kiongozi wa muungano wa CORD Raila Odinga ameipongeza hatua ya mkurugenzi wa mashtaka nchini kenya Keriako Tobiko kuagiza kufunguliwa tena kwa faili zinazoambatana na ile kashfa ya Eurobond ili waliofaidi watajwe. Akizungumza katika kaunti ya Vihiga kwenye hafla ya mazishi, Raila amesema hilo likifanyika litaondoa utata wote unaozingira sakata hiyo. Seneta wa Vihiga George Khaniri, na aliyekuwa spika wa bunge Kenneth Marende ni kati ya waliohudhuria hafla hiyo.
.
RELATED VIDEOS