Majeruhi wanne wawasili mjini Nairobi kwa matibabu kutoka Wajir
17th January, 2016
Zaidi ya wanajeshi themanini imma wamefariki au wamejeruhiwa katika shambulizi lililofanyika katika kambi ya wanajeshi wa Kenya na wale wa Somalia nchini humo. Haya ni kulingana na Waziri Wa Ulinzi Rachelle Omamo aliyefika pamoja na mkuu wa wanajeshi Jenerali Samson Mwathethe kuwapokea majeruhi wanne waliosafirishwa kutoka wajir kwa matibabu ya ziada. Kukiwa kumesubiriwa miili na wala sio majeruhi. Je, huenda kuwa tunahadaiwa kwa mara nyingine?