Rais Uhuru awahakikishia viongozi wa kidini kuwa serikali itaheshimu uhuru wa kuhubiri
17th January, 2016
Rais Uhuru Kenyatta amewahakikishia viongozi wa makanisa kuwa serikali yake itaheshimu uhuru wa kuhubiri. Hatahivyo amekariri kuwa ni sharti makasisi na maaskofu matapeli waondolewe katika jamii. Ameyasema hayo mjini malindi ambapo mwenyeji wake gavana wa kilifi amason kingi amewataka wanasiasa kutofautisha hafla za uhuru kenyata kama rais na kama kiongozi ili kuchipuka kwa cheche za siasa. John Juma na ripoti kamili