Nakala ya Afya ya Wakenya imezinduliwa kirasmi
14th January, 2016
Nakala ya ripoti inayoonyesha hali ya afya kwa ujumla ilivyo miongoni mwa wakenya ya mwaka 2014 imezinduliwa rasmi hii leo..dhamira yake ni kuonyesha endapo maambukizi ya maradhi kama vile ukimwi, upangaji uzazi, afya ya akina mama na watoto na vifo vinavyoambatana na afya ya aina hii. Wanawake wametajwa kushiriki pakubwa katika kupatikana kwa takwimu hizi ikilinganishwa na wanaume.