Aliyekuwa Waziri Joseph ole Lenku atangaza nia ya kuwania Ugavana wa Kajiado
13th January, 2016
Aliyekuwa Waziri wa Usalama Joseph ole Lenku ametangaza nia ya kuwania kiti cha Ugavana wa kaunti ya Kajiado. Wengi wamekuwa wakiuliza alikokwenda waziri lenku baada ya kutumikia serikali ya jubilee kwa zaidi ya mwaka mmoja hivi. Aidha msimamo wake umeleta msisimko wa siasa katika kaunti ya kajiado. Nick wambua anaarifu.