ELIMU NA TAALUMA: Idadi ya wanafunzi wa kiume katika eneo la Loitoktok imekuwa ikipungua
11th January, 2016
Idadi ya wanafunzi wa kiume kwenye shule nyingi katika eneo la Loitoktok imekuwa ikipungua huku wavulana wengi wakijumuika kwenye itikadi za kale mfano umorani . Kwenye matokeo ya mtihani wa kcpe ya mwaka jana imeibuka kwamba katika shule nyingi za eneo wasichana ndio waliibuka wanafunzi bora. Ndilo suala ambalo tunaangazia kwenye makala yetu maalum elimu na taaluma jumatatu hii.kumbuka leo ikiwa jumatatu ilivyo desturi tunaangazia masuala ya elimu ambapo tutatahmini suala hilo kwa kina.