Wanaogombea useneta Kericho kwa tiketi ya Jubilee wapinga uteuzi wa atakaye peperusha bendera
10th January, 2016
Mchakato wa uchaguzi mdogo wa wadhfa wa useneta katika kaunti ya Kericho umechukua mkondo mwingine baada wagombeaji wa kiti hicho kwa tiketi ya chama kipya cha Jubilee kufutilia mbali wito wa aliyekuwa seneta Charles Keter kwamba mashauri yafanywe kumteuwa mpeperushaji bendera ya Jubilee