Je, sharia mpya inayopiga marufuku mazungumzo ya ngono inahujumu uhuru wa vyombo vya habari?
8th January, 2016
Mojawapo ya sheria mpya katika mwongozo wa kuthibiti vyombo vya habari imepiga marufuku mazungumzo ya ngono katika vituo vya redio wakati wa mchana ,. Hii ni miongoni mwa sheria nyenginezo baadhi ambazo kulingana na washikadau wa vyombo vya habari zinatisha uhuru wa vyombo vya habari nchini Kenya.