×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Je, sharia mpya inayopiga marufuku mazungumzo ya ngono inahujumu uhuru wa vyombo vya habari?

8th January, 2016

Mojawapo ya sheria mpya katika mwongozo wa kuthibiti vyombo vya habari imepiga marufuku mazungumzo ya ngono katika vituo vya redio wakati wa mchana ,. Hii ni miongoni mwa sheria nyenginezo baadhi ambazo kulingana na washikadau wa vyombo vya habari zinatisha uhuru wa vyombo vya habari nchini Kenya.
.
RELATED VIDEOS