×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Matamshi ya mwanasiasa Suleiman Shabal kwamba Jubilee itaiba kura 2017 yaibua tetesi kali

6th January, 2016

Matamshi ya mwanasiasa wa Pwani Suleiman Shabal mbele ya naibu rais majuzi kwamba chama tawala kiko tayari kuiba kura ili kushinda tena uchaguzi hatimaye yameibua hatua kutoka vyombo vya serikali. Mkuu wa mashtaka ya umma amewaagiza makachero wa CID kumtia nguvuni shabal na kumhoji.
.
RELATED VIDEOS