Matamshi ya mwanasiasa Suleiman Shabal kwamba Jubilee itaiba kura 2017 yaibua tetesi kali
6th January, 2016
Matamshi ya mwanasiasa wa Pwani Suleiman Shabal mbele ya naibu rais majuzi kwamba chama tawala kiko tayari kuiba kura ili kushinda tena uchaguzi hatimaye yameibua hatua kutoka vyombo vya serikali. Mkuu wa mashtaka ya umma amewaagiza makachero wa CID kumtia nguvuni shabal na kumhoji.