×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Elimu na Taalum: Wataalam wapongeza hatua ya kutoorodhesha wanafunzi, shule kwenye mtihani wa KCPE

4th January, 2016

Kwa mara nyengine tena wizara ya elimu haikuorodhesha wanafunzi wala shule bora kwenye mtihani wa kitaifa wa KCPE. Hatua hiyo yatokana na sera zilizoanzishwa mwaka jana. Wataalam wa elimu wamepongeza hatua hiyo wakisema inapunguza dhana inayoyafanya masomo kuwa ushindani badala ya kuwa njia ya kupata maarifa . Ndilo suala tunaloangazia leo kwenye elimu na taalum.
.
RELATED VIDEOS