×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wazazi walalamikia gharama ya masomo ambayo inaendelea kupanda huku shule zifunguliwa

3rd January, 2016

Muhula wa kwanza wa masomo unatarajiwa kuanza hapo kesho huku wazazi wakilalamikia gharama ya masomo ambayo inaendelea kupanda. Mbali na baadhi ya shule kuongeza karo kwa viwango vya juu, gharama ya vitabu pia inawakosesha wazazi usingizi. Lakini wachapishaji vitabu wanailaumu serikali kwa kile wanachokitaja kuwa kuongeza kodi kwa mali ghafi ya kutengeneza vitabu.
.
RELATED VIDEOS