×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Unyama: Mwanamume mwenye umri wa miaka 42 ambaka bintiye Murang’a

3rd January, 2016

Kwenye kisa kinachoibua maswali kuhusu uhusiano wa wazazi wa kiume na mabinti zao, mwanamume mmoja katika kaunti ya Murang’a ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kumbaka bintiye. Patrick Ng’ang’a mwenye miaka 42 anadaiwa kumtendea mwanawe wa darasa la tano unyama huo wakati mkewe alipoondoka kujumuika na jamaa zake kwa sherehe za mwaka mpya.
.
RELATED VIDEOS