Rais Uhuru Kenyatta atangaza mpigano ya serikali katika mwaka wa 2016
2nd January, 2016
Rais uhuru Kenyatta amewataka wakenya kutangamana kufanikisha ukuaji wa taifa mwaka huu wa 2016. Akizungumza kwenye hotuba ya mwaka mpya kwa taifa rais kenyatta aligusia baadhi ya mafanikio ambayo taifa limepiga na hata akabashiri ufanisi zaidi kwenye sekta nyingi katika mwaka mpya.