Wakenya wakaribisha mwaka mpya katika vilabu na makanisani
2nd January, 2016
Usiku wa kuamkia leo wakenya wameukaribisha mwaka mpya 2016 kwa njia tofauti. Kuna waliokesha katika sehemu za ibada ,waliosalia nyumbani na wale waliojivinjari katika maeneo ya starehe . Hii hapa taafifa kamili ya jinsi mwaka mpya ulivyokaribishwa hapa nchini.