NTSA na polisi wamaandaa operesheni kunasa magari binafsi yanayowabeba abiria msimu huu wa sherehe
31st December, 2015
Maafisa wa mamlaka ya usalama barabarani NTSA na polisi wa trafiki wameandaa operesheni ya kuyanasa magari binafsi yanayowabeba abiria msimu huu wa sherehe. Wakiongoza operersheni hiyo katika barabara kuu ya nairobi – nakuru wakuu wa ntsa wamesema kuwa takwimu zimeonesha kuwa magari binafsi na pikipiki za boda boda zimechangia kwa ongezeko la ajali za barabarani mwaka huu