×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

NTSA na polisi wamaandaa operesheni kunasa magari binafsi yanayowabeba abiria msimu huu wa sherehe

31st December, 2015

Maafisa wa mamlaka ya usalama barabarani NTSA na polisi wa trafiki wameandaa operesheni ya kuyanasa magari binafsi yanayowabeba abiria msimu huu wa sherehe. Wakiongoza operersheni hiyo katika barabara kuu ya nairobi – nakuru wakuu wa ntsa wamesema kuwa takwimu zimeonesha kuwa magari binafsi na pikipiki za boda boda zimechangia kwa ongezeko la ajali za barabarani mwaka huu
.
RELATED VIDEOS