Kumbukumbu za wanafunzi walioibuka na alama bora kwenye mtihani wa KCPE awali 2013
30th December, 2015
Siku hizi viwango vya kupita mitihani vimepanda huku maalfu ya watahiniwa wakipata alama za a kwenye kila somo… lakini je wanapofika shule za sekondari, umahiri huo huendelea ama la ? Katika kaunti ya nyeri, ktn leo ilikutana na baadhi ya watahiniwa wa KCPE wa mwaka 2013 waliofana msimu huo.