Serekali kufadhili gharama ya matibabu ya wanusura wa shambulizi ya Mandera
27th December, 2015
Serikali imekanusha madai kuwa hospitali kuu ya kenyatta ilikuwa iwafurushe manusura wa shambulizi la kigaidi kule mandera waliowakinga wenzao wa kikristo. Akizungumza na wanahabari baada ya kuwatembelea waathiriwa hao mapema leo asubuhi, waziri wa afya cleopas mailu amewahakikishia waathiriwa hao kuwa serikali itagharamia fedha za matibabu za wawili hao.