×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Serekali kufadhili gharama ya matibabu ya wanusura wa shambulizi ya Mandera

27th December, 2015

Serikali imekanusha madai kuwa hospitali kuu ya kenyatta ilikuwa iwafurushe manusura wa shambulizi la kigaidi kule mandera waliowakinga wenzao wa kikristo. Akizungumza na wanahabari baada ya kuwatembelea waathiriwa hao mapema leo asubuhi, waziri wa afya cleopas mailu amewahakikishia waathiriwa hao kuwa serikali itagharamia fedha za matibabu za wawili hao.
.
RELATED VIDEOS