×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Licha ya Kenya kuwa na bahari, Kenya huagiza samaki kutoka Uchina

26th December, 2015

Licha ya Kenya kuwa na bahari yenye urefu wa takriban kilomita 700, yenye uwezo wa kuzalisha samaki, Kenya inaagiza samaki kutoka Uchina kuuzwa katika soko humu nchini. Ni kauli iliotolewa na waziri anaehusika na maswala ya uvuvi na kilimo kaunti ya Mombasa Anthony Jaramba, ambaye anasisitiza uhaba wa vifaa umepelekea wavuvi wengi kukata tama na shughuli za uvuvi ukanda wa pwani. Nilipata fursa ya kuzuru mojawapo ya bandari kuu ya samaki inayotumiwa kaunti ya Mombasa,na kukuandalia taarifa inayoangazia changamoto za sekta uvuvi sehemu hio.
.
RELATED VIDEOS