Gavana Jackson Mandago awatembeleaa wafungwa huko Eldoret
24th December, 2015
Wafungwa katika gereza la Eldoret kaunti ya Uasin Gishu walipata fursa ya kipekee kujumuika na gavana wao Jackson Mandago. Gavana Mandago alilitembelea gereza hilo kutathmini hali yake na kupata fursa ya kusherehekea na wafungwa. Na mwanamke mwenye umri wa makamo amepoteza maisha baada ya kugongwa na basi la abiria katika eneo la kinungi kule Naivasha kaunti ya Nakuru. Taarifa hiyo na nyinginezo kwenye mkusanyiko wa habari za kaunti.