Kiongozi wa NARK Kenya Martha Karua akanusha madai ya ufisadi
21st December, 2015
Hatimae kiongozi wa chama cha nark kenya martha karua amejitokeza kujitetea na sakata ya kula hongo, na kutishia kulishtaki gazeti la uingereza la the independent kufuatia ufichuzi kwenye gazeti hilo kwamba karua alipokea rushwa ya shilingi milioni 7.5 kutoka kwa kampuni ya kutengeza sigara nchini bat. Sakata hio ilichipuka baada ya gazeti la uingereza kutoa madai hayo kwenye mojawapo ya nakala zake.