×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kiongozi wa NARK Kenya Martha Karua akanusha madai ya ufisadi

21st December, 2015

Hatimae kiongozi wa chama cha nark kenya martha karua amejitokeza kujitetea na sakata ya kula hongo, na kutishia kulishtaki gazeti la uingereza la the independent kufuatia ufichuzi kwenye gazeti hilo kwamba karua alipokea rushwa ya shilingi milioni 7.5 kutoka kwa kampuni ya kutengeza sigara nchini bat. Sakata hio ilichipuka baada ya gazeti la uingereza kutoa madai hayo kwenye mojawapo ya nakala zake.
.
RELATED VIDEOS