Itikadi za uvuvi katika eneo la Nyanza zafanya wanaume kujitenga na wanawake
20th December, 2015
Je wajua watu wanaposherehekea samaki hawajui mengi kuhusu wanakotoka na tamaduni zinazohusiana na uvuvi hususan kutoka ziwa viktoria? Mwanahabari victor ogale anachambua itikadi hizo na nafasi ya wanawake na wanaume katika uvuvi.