×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mikakati iliyobuniwa kuwasaidia watoto kutumia likizo kukuza talanta zao

18th December, 2015

Wakati kama huu wa likizo ndefu watoto wengi husalia nyumbani bila kuwa na mengi ya kufanya ila kutazama runinga mchana kutwa huku wengine wakihofiwa kujitosa kwa mambo yasiyofaa. Hata hivyo mikakati mwafaka ikibuniwa ya kuwasaidia watoto kutumia muda wao wa likizo kwa njia inayokubalika kama kukuza talanta zao, hilo ni jambo litakalofana mno. Katika kaunti ya Nyeri, kambi ya usanii iliandaliwa kwa watoto kati ya umri wa miaka 5-15 ambapo walijumuika pamoja na kufunzwa kuhusu usanii kama vile uchoraji na uundaji wa vinyago. Mwanahabari wetu Carol Nderi alikifika kwenye kambi hiyo ya usanii na kutuandalia taarifa ifuatayo.
.
RELATED VIDEOS